Rais Magufuli awapandisha vyeo maafisa wa Jeshi la Magereza


Rais John Magufuli amewapandisha vyeo maafisa wanne wa Jeshi la Magereza kutoka Naibu Kamishna wa Magereza hadi kuwa Kamishna wa Magereza.


Taarifa ya uteuzi huo imetolewa leo Juni 2, 2018 na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais-Ikulu, Gerson Msigwa, ambayo iko chini.

Post a Comment

Previous Post Next Post