Maombi ya wadau wa habari kupinga sheria ya mtandaoni yatupwa na mahakama


Serikali imeshinda kesi iliyofunguliwa na wadau wa habari nchini katika Mahakama Kuu Kanda ya Mtwara, ya kupinga kanuni za maudhui mitandaoni za mwaka 2018.

Taarifa hiyo imetolewa leo kwa umma na Msemaji Mkuu wa serikali na Mkurugenzi wa Idara ya Habari-Maelezo, Dkt. Hassan Abbasi, ambayo iko chini.

Post a Comment

Previous Post Next Post