Baada ya Wenger kutangaza kustaafu Arsenal, ofa zamiminika


Mkufunzi mkuu wa Klabu ya Arsener  Mzee Aesne Wenger  ambae atamaliza  ataachia ngazi mwihoni mwa msimu huu, amesema ana ofa nyingi  kutoka vilabu tofauti ambazo zinahitaji huduma yae

Wenger  amesema hakutarajia kupata ofa hizo baada ya kutangaza kuondoka Arsenal mwishoni mwa msimu huu.
Wenger ambae alikifunza timu ya  Arsenal kwa miaka 22 anatarajiwa kubaki katika nafasi ya uongozi ndani ya klabu hiyo aliyojiunga nayo mwaka 1996.
Kwa sasa wenger amebakiza michezo kadhaa na  atakuwa kwenye benchi kuiongoza Arsenal katika mchi zake 2 za mwisho dhidi ya Leister City na Hudderfield Town.

Post a Comment

Previous Post Next Post