Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Theophil Makunga ametangaza kujiuzulu nafasi yake hiyo. Mkutano Mkuu wa dharura uliofanyika jana umeridhia kujiuzulu kwa kiongozi huyo.
Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Theophil Makunga ametangaza kujiuzulu nafasi yake hiyo. Mkutano Mkuu wa dharura uliofanyika jana umeridhia kujiuzulu kwa kiongozi huyo.

