Rais Magufuli ateua Msajili wa Hazina


Rais John Magufuli amemteua Athumani Mbutuka kuwa Msajili wa Hazina. Taarifa ya uteuzi huo imetolewa leo Juni 6, 2018 na Mkuu wa Mawasiliano ya Rais Ikulu ambayo iko hapo chini.

Post a Comment

Previous Post Next Post