Simba sasa Mambo ni Motoo! yamalizana na Kichuya, Muzamiru


Mabingwa wapya wa Ligi kuu ya Vodacom nchi wekundu wa Msimbazi imemsainisha mkataba mpya Shiza Kichuya na Kiungo wake Muzamiru Yasin.

Kaimu Rais wa Klabu ya SimbaSalimu Abdalla maarufu kama Try Again  ameweka wazi kuwa Klabu hiyo haitakubali kuondoka kwa mchezaji yeyote wanayemtaka kuondoka kwenye klabu hiyo.

Wachezaji hao wawili watangana  na Simba leo nchini Kenya  ambapo mchuano wa SportPesa utaanza leo .



Tyr Again ameeleza kuwa yupo mchezaji mwengine ambaye ataambatana pamoja na wachezaji hao kwenda Kenya kushiriki ligi hiyo


Simba itaanza game yake ya kwanza siku ya Jumatatu dhidi ya Kariobang Sharks kuanzia mida ya saa 9 mchana.

Post a Comment

Previous Post Next Post