Keisha awatoa mkosi Bongo Fleva, aula ujumbe Kamati Kuu CCM


Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Khadijha Shabani Taya maarufu kama ‘Keisha’ ameteuliwa na chama cha CCM kuwa mjumbe wa Kamati Kuu  ya Taifa kutoka Tanzania Bara.


Taarifa ya uteuzi huo ilitolewa jana na Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM, Humphrey Polepole ambayo iko hapo chini.


Post a Comment

Previous Post Next Post