Samatta aenda kuzuru Maka


Nyota wa Timu ya Taifa- Taifa Stars, Mbwana Samatta ambaye pia anakipiga katika klabu ya KRC Genk ya nchini Ubelgiji yuko Mecca nchini Saudia Arabia kufanya ibada ya Umrah.

Mchezaji huyo wa kimataifa aliambata na mchezaji mwenzake wa KRC Genk ambaye ni raia wa Gambia, Omary Colley.



Samatta amekwenda Nchini Saudia Arabia baada ya ligi kuu ya Ubelgiji kumalizika.

Post a Comment

Previous Post Next Post