Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. John Magufuli ametoa onyo kali kwa Mtanzania yoyote atakayejaribu kuandamana na kusema wanataka watu waache kufanya kazi ili waandamane.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. John Magufuli ametoa onyo kali kwa Mtanzania yoyote atakayejaribu kuandamana na kusema wanataka watu waache kufanya kazi ili waandamane.

