Simba mwendo wa mikwaju tu hadi Fainali


Ikiwa ni mchezo wa pili kwa klabu bingwa nchini Tanzania kuendeleza ushindi kwa mikwaju ya penati kama ilivyoichapa Kariobangi Sharks na hatimaye leo kuichapa Kakamega kwa Mikwaju 5- 4.

Mabingwa hao wanaondeleza ubabe nchi jerani ya Kenya kwenye mashindano ya SportPesa ilitoka sare ys 0-0 kwenye dakika 90 na baadaye kuamuliwa kupigwa mikwaju ya penalti

Baada ya hapo ikawa ni mikwaju ya penalti na wachezaji wote watano wa Simba walifunga wakiongozwa na Jonas Mkude ambaye alifunga penalti ya mwisho. na wengeine ni Niyonzima , Erasto Nyoni, Kapombe na Shiza  Kichuya 




Post a Comment

Previous Post Next Post