Wanafunzi hawa hawatapata Mikopo- HESLB


Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu HESLB imetanga kusitisha mikopo kwa wanafunzi wanasoma kwenye vyuo mbalimbali nchini kwa ngazi ya Stashahada (Diploma) kwa mwaka 2018/2019.

Taarifa hiyo imetolewa na Mkurugenzi wa bodi hiyo Abdul-Razaq Badru kupitia vyombo vya habari ambapo ameeleza kuwa sifa stahili za mikopo ni zile ambazo bodi imezitangaza.

Amesema kuwa utararibu wa mikopo kwenye ngazi hiyo kwa mwaka huu hatakupo mpaka ambapo HESLB itakapotangaza tena.

Post a Comment

Previous Post Next Post