Watu 22 wakiwemo watoto wafariki dunia kwenye ajali


Watu Takribani 22 wakiwemo watoto watatu wameuawa kwenye ajali ya basi nchini Uganda.

Ajali hiyo ilitokea jana usiku maeneo ya Kiryandongo karibu kilomita 220 kaskazini mwa mji mkuu wa Uganda, Kampala.

Taarifa hiyo imetolewa na Msemaji wa jeshi la polisi nchini Uganda,  Emilian Kayima kupitia mtandao wa AFP.


Kayima amesema basi hilo liligonga tingatinga ambayo ilikuwa ikiendeshwa bila ya taa.

Post a Comment

Previous Post Next Post