Huyo Mtanzania alichaguliwa kwenye timu ya Taifa ya Denmark




Yussuf Poulsen - Raia wa Denmark mwenye asili ya Tanzania ameitwa katika kikosi cha awali cha wachezaji 35 wa timu ya taifa ya Denmark watakaoshiriki Kombe la Dunia ​2018​ nchini Urusi, Baba mzazi wa Yussuf anatokea mkoani ​Tanga​ na mama yake ​Denmark​.

Post a Comment

Previous Post Next Post