Patrick Vieira kuchukua mikoba ya Wenger



Baada ya kocha wa Arsenal , Arsene Wenger kukubali kuondoka kwenye klabu hiyo mwishoni mwa msimu huu, nguli wa zamani wa Arsenal, Patrick Vieira anatarajiwa kurejea klabuni hapo na kuchukua mikoba ya Mzee Wenger.

Nahodha huyo wa zamani wa timu hiyo na Ufaransa, anahusishwa na mpango huo  kuchukua  nafasi ya Wenger, baada ya wenger kukiri kuondoka klabuni hapo mwishoni mwa msimu huu.


Taarifa zinaeleza kuwa Wenger amesalia Arsenal akiwa ni mmoja wa kiongozi watakaokuwa katika benchi la ufundi.


Post a Comment

Previous Post Next Post