HomePicha Picha ya siku [Ajali] bymguta -April 10, 2018 0 Gari la Polisi Kisiwani Mafia lililopata ajali baada ya kufeli break kwenye eneo la Bandari ya kisiwa hiko na kutumbukia kwenye kina cha Bahari ambapo askari aliyekuwa akiendesha gari hilo amenusurika kufa baada ya kujitosa baharini. Tags: Picha Facebook Twitter