Liverpool yaingia kwenye ‘18’ za Nabil Fekir, yamwaga Paundi Mil.53


Klabu ya Liverpool imefanikiwa kumnasa mchezaji wa Lyon, Nabil Fekir, ambapo iko katika hatua za mwisho za kusaini nae kwa dau la paundi milioni 53.

Mchezaji huyo wa kimataifa wa Ufaransa, alikuwa anawindwa na kocha wa Liverpool, Jurgen Klopp katika dirisha la usajili katika msimu wa majira ya joto.


Kocha Klopp anaamini kwamba Fekir atakua na nafasi nzuri ya kuichezea klabu hiyo kwa muda mrefu.

Post a Comment

Previous Post Next Post