Jimbo la Buyungu lahamia kwenye msiba wa Bilago


Mamia ya wakazi wa Jimbo la Buyungu wilayani Kankonko mkoani Kigoma wamejitokeza katika shughuli ya mwisho ya kuuaga mwili wa aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo, Kasuku Bilago.



Vile vile shughuli hiyo imehudhuriwa na wanasiasa mbalimbali ikiwemo Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe, Kiongozi wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe. 

Post a Comment

Previous Post Next Post