Mabingwa wa Zambia, Zesco wamemtangaza rasmi kocha George Lwandamina kuwa kocha wao mpya.
Lwandamina ambaye bado ana mkataba na Yanga, ameondoka bila ya kuaga na Yanga hawakuwa wakijua alipo.
Lakini Kocha huyo, ametangazwa leo rasmi kurejea kwa Zambia na kujiunga na klabu yake hiyo ambayo aliiacha na kujiunga na Yanga.
Tags:
Sports
